Tanzania ya pili uzalishaji mbaazi duniani
Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa zao la mbaazi duniani baada ya nchi ya India. Akiwasilisha mwenendo wa zao la mbaazi nchini kwa Mwaka 2024/2025, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko ( COPRA) Irene Mlola amesema uzalishaji wa mbaazi nchini umeongezeka hadi kufikia Tani 307,000 kwa msimu uliopita…
