Kama unafanya biashara ya miwani hii inakuhusu pesatu.com

Kama unafanya biashara ya miwani hii inakuhusu

Uuzaji wa miwani kiholela umeshamiri katika maeneo mengi nchini husasani mijini. Miwani hizo nyingi zikiwa ni zile zinazotajwa kuwa ni miwani za urembo. Mbali na kumsababishia madhara mtumiaji anayetumia miwani pasipo kuipima na kupima macho yake, pia mtu yeyote anayejihusisha na biashara ya miwani anatakiwa azingatie sheria ya Optometria sura namba 23 ikiwemo kusajiliwa katika…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 08 18 at 4.40.27 PM

Wataalam wa kusimamia Bajeti ya Serikali wameagizwa kutumia mafunzo ya Mfumo ulioboreshwa

Wataalam wa wanaoandaa na kusimamia Bajeti ya Serikali wameagizwa kutumia mafunzo ya Mfumo ulioboreshwa wa Uandaaji na Usimamizi wa Bajeti (CBMS), kuboresha utendaji kazi katika usimamizi wa uandaaji na utekelezaji wa Bajeti ya Serikali. Agizo hilo limetolewa jijini Dodoma na Kamshina wa Bajeti, Wizara ya Fedha, Meshack Anyingisye wakati akifungua mafunzo ya Mfumo wa CBMS…

Soma Zaidi
Kukuza biashara ndogo inahitaji mpango mkakati mzuri pesatu.com

Fahamu jinsi ya kukuza biashara ndogo

Kukuza biashara ndogo inahitaji mpango mkakati mzuri, kuitangaza, usimamizi wa fedha, na kuzingatia wateja wako. Weka malengo na mpango yako Weka malengo mahususi (yaliyo wazi, yanayoweza kupimika na yanayowezekana. Hapa usiweke malengo ya vitu ambavyo havitaweza kutokea. Jua kile unachofanya na kiwe kinakutofautisha na wafanyabiashara wengine, weka sababu kwa nini wateja wanunue kwako na sio kwa wafanya biashara…

Soma Zaidi
Muonekano wa Kiwanda cha Majaribio cha Kuchenjua Urani cha Mantra Tanzania Limited kilichopo katika Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma, kilichozinduliwa na Rais Dkt. Samia pesatu.com

Uchumi wa Tanzania kuendelea kukua Rais Dkt. Samia akizindua mradi wa urani wa Dola 1.2bn

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania inaendelea kupiga hatua muhimu katika safari yake ya kujenga uchumi wa kisasa unaotegemea maarifa, teknolojia na rasilimali za ndani. Rais Dkt. Samia maeyasema hayo Julai 30, 2025 wakati akizindua kiwanda cha majaribio cha uchenjuaji wa madini ya Urani kilichopo Wilaya ya Namtumbo…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 07 31 at 12.32.50 PM

1163 wathibitisha kushiriki Maonesho Nanenane 2025

Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Gerald Mweli amesema kuwa washiriki wapatao 1163 wamethibitisha kushiriki katika Maonesho ya Kilimo ya Kimataifa Nanenane 2025 ambayo Kitaifa yanafanyika katika viwanja vya Nzuguni, mkoani Dodoma. “Kutakuwa na teknolojia za huduma za kisekta ambapo waoneshaji 753 wanatoka katika Sekta za Umma na Binafsi, washirika kutoka katika taasisi za nje…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks