Ukuaji Sekta ya Madini waongeza mahitaji ya umeme Tanzania: Dkt. Biteko pesatu.co.tz

Ukuaji Sekta ya Madini waongeza mahitaji ya umeme Tanzania: Dkt. Biteko

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, amesema ongezeko la shughuli za uchimbaji na uongezaji thamani sekta ya madini limechochea mahitaji makubwa ya nishati ya umeme nchini, hali inayothibitisha kasi ya ukuaji wa sekta hiyo. Amebainisha hayo Septemba 28, 2025, wakati akihitimisha Maonesho ya 8 ya Teknolojia ya Madini yaliyofanyika mkoani Geita,…

Soma Zaidi
Kampuni za Ericsson, Siemens za sweden kuongeza uwekezaji Tanzania pesatu.com

Kampuni za Ericsson, Siemens za sweden kuongeza uwekezaji Tanzania

Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mobhare Matinyi, amefanya ziara katika makao makuu ya kampuni za Ericsson na Siemens Energy za Sweden kujadiliana kuhusu kuongeza uwekezaji na kuendelea kuleta teknolojia zao nchini. Balozi Matinyi aliitembelea kampuni ya Ericsson Septemba 02, 2025, jijini Stockholm na kuzungumza na viongozi na wataalam wao wakiongozwa na Mkurugenzi wa Sera za…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks