Mapato utalii yaongezeka kwa 53%
Licha ya kuwepo kwa janga la Covid-19 ambalo limeathiri uchumi wa nchi nyingi duniani, mapato ya sekta ya utalii Tanzania yameongezeka kwa asilimia 53.7. Kwa mujibu wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), hadi kufikia November 30, 2021 mapato yameongezeka na kufikia dola za Marekani bilioni 1.32 kutoka dola milioni 861.8 mwaka 2020. Ongezeko hilo, limechangiwa…
