WhatsApp Image 2023 02 15 at 13.42.28

Serikali yasaini makubaliano kusimamia bunifu

Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari na Kampuni ya Tanzania Startups Association (TSA) imesaini makubaliano ya ushirikiano wa kuanzisha na kuimarisha miongozo mbalimbali inayosimamia bunifu na kampuni changa nchini (startup’s policy) Akizungumza baada ya kusaini makubaliano hayo Februari 14, 2023 jijini Dodoma, Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt. Jim Yonazi amesema lengo ni…

Soma Zaidi
rrr

Chuo Kikuu kione aibu wahitimu wakichoma mahindi barabarani: Rais Ruto

Rais wa Kenya William Ruto amevitaka vyuo nchini humo kuzalisha wahitumu wanaoajirika. Amesema wanaangalia namna ya kuboresha kozi na aina ya ufundishaji katika vyuo na ubora wa wahitimu wanaozalishwa na vyuo husika. Rais Ruto amevitaka vyuo nchini humu kuboresha ufundishaji na kusema kama wanatumia pesa za umma, umma unatakiwa upate thamani kwa kila Shilingi ya…

Soma Zaidi
sasas

TCRA yatangaza fursa wabunifu wa TEHAMA

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imewataka vijana wabunifu na wavumbuzi wa programu mbalimbali za kidijitali kujitokeza kupata rasilimali zitakazowawezesha kupata fursa ya kutengeneza ajira; kujiletea kipato na kutatua changamoto mtambuka za jamii. Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Dk. Jabir Bakari amesema mapema leo Jumatatu Novemba 14, 2022 kuwa mamlaka hiyo kwa kushirikiana na taasisi nyingine imeamua…

Soma Zaidi
mtt

Vijana watakiwa kutumia teknolojia kukuza ubunifu

Kutokana na kukua kwa teknolojia, vijana wa Kitanzania wametakiwa kutumia fursa za kidigitali ili kuweza kukuza ubunifu na ujasiriamali na kupata masoko ndani na nje ya nchi. Mkurugenzi Mtendaji wa Sahara Venture, Jumanne Mtambalike ametoa wito huo kwa vijana katika Kongamano la ubunifu, teknolojia na ujasiriamali lililoandaliwa Sahara Ventures kwa kushirikana na wadau wengine wakiwemo…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks