WhatsApp Image 2024 03 01 at 17.50.55

Wadau waipa Tanzania Dola za Marekani bilioni 2.7

Takribani Dola za Marekani bilioni 2.7 zimetolewa na wadau wa maendeleo kwa ajili ya kuisaidia Tanzania kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo. Kati ya fedha hizo, asilimia 51 ni misaada na asilimia 49 ni mikopo yenye masharti nafuu. Hayo yameeleza na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, David Concar katika mkutano wa Majadiliano ya Kimkakati kati ya…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 02 13 at 14.41.28

Watanzania watakiwa kumuenzi Lowassa kwa uzalendo na uwajibikaji

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema namna bora ya kumuenzi Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Edward Ngoyai Lowassa ni kuendelea kuyaishi maono yake ya uzalendo, uwajibikaji ili iwe dira ya kuzidi kujenga umoja na kupiga hatua za maendeleo nchini. Rais Dk. Mwinyi amesema hayo wakati akitoa salamu za pole…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 11 24 at 12.58.13

Afrika tujitegemee kifedha mabadiliko tabia ya nchi: Rais Samia

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema ni muda muafaka kwa Afrika kujitegemea katika fedha za kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi. Rais Samia amesema hayo katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) unaojadili Masuala ya Tabianchi na Usalama wa Chakula Mkoani Arusha ulioandaliwa na Jumuiya ya Afrika Mashariki….

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 10 20 at 11.55.32

Maliasili na Utalii kutumia akili bandia (AI)

Wizara ya Maliasili na utalii imesema inaanza kutumi akili bandia (Artificial Intelligence) katika kutekeleza majukumu yake ili kuleta ufanisi wenye tija katika tafiti za Wanyama. Imeeleza kuwa hivi karibuni itaanza kutumia AI kwenye kuandikisha watalii kutokea nchi wanazotoka hadi kwenye vivutio vya utalii watakavyotembelea. Haya yamebainika wakati Kamati ya Bunge ya kudumu ya Ardhi, Maliasili…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 10 09 at 11.52.05

Dola 1000 kwa vijana kukabiliana na mabadiliko tabia nchi

Vijana wapatao 10 kutoka mataifa mbalimbali duniani watapatiwa kiasi cha Dola za Kimarekani 1000 kwa ajili ya kuendeleza miradi ya kukabiliana na mabadiliko ya Tabia Nchi. Haya yamebainika wakati Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Dunstan Kitandula akihitimisha kongamano la Kimataifa la vijana kuhusu Mabadiliko ya Tabia nchi katika chuo Kikuu cha Dar es salaam….

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks