Screen Shot 2024 11 28 at 12.50.29 PM

Watanzania kupata zawadi kupitia risiti za kielektroniki

Katika kuhamasisha matumizi ya mashine za kielektroniki nchini, serikali inatarajia kufungua Tuzo ya Uzalendo ambapo wananchi wataweza kujipatia zawadi kupitia risiti za kielektroniki. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Kongamano la Kodi, Robert Manyama, wakati wa Kongamano la Kodi lililofanyika Mkoani Kigoma. “Serikali ina jukumu kubwa la kuweka mikakati ya kuendelea kurasimisha biashara nchini na kuhamasisha…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 08 01 at 15.52.51

Tanzania inahitaji dola za Marekani bilioni 6.3 kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa

Tanzania inahitaji dola za Marekani bilioni 6.3 kwa mwaka ili kukabiliana na athari za papo kwa hapo zinazotokana na mabadiliko ya hali ya hewa. Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema hayo wakati akizindua rasmi Ripoti ya Mapitio ya Hali ya Mwenendo wa Uchumi wa Tanzania kwa mwaka 2024, iliyoandaliwa na Benki ya Maendeleo ya…

Soma Zaidi
eee 1

Tanzania, Msumbiji kujadili biashara, uwekezaji

Tanzania na Msumbiji wanatarajiwa kushiriki mazungumzo ya pamoja ambayo yatajikita katika sekta ya biashara, uwekezaji, ulinzi na usalama. Mazungumzo hayo yanatarajiwa kufanyika Julai 02, 2024 ambapo Rais wa Msumbiji Filipe Jacinto Nyusi atafanya ziara ya Kiserikali ya siku tatu na kupokelewa na mwenyeji wake Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Rais Samia na Rais Nyusi,…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 03 01 at 17.50.55

Wadau waipa Tanzania Dola za Marekani bilioni 2.7

Takribani Dola za Marekani bilioni 2.7 zimetolewa na wadau wa maendeleo kwa ajili ya kuisaidia Tanzania kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo. Kati ya fedha hizo, asilimia 51 ni misaada na asilimia 49 ni mikopo yenye masharti nafuu. Hayo yameeleza na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, David Concar katika mkutano wa Majadiliano ya Kimkakati kati ya…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks