Royal Tour yaongeza mapato kutoka Tsh 70bn hadi Tsh 84bn
Ikiwa ni miaka miwili sasa ya filamu ya Royal Tour leo Mei 2, 2024 Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi ameshiriki mahojiano maalum kupitia kipindi cha JANA na LEO kinachoruka kupitia Radio ya Wasafi Fm “live” kutoka katika Geti la Marangu, Mlima Kilimanjaro. Dkt. Abbasi ameeleza mafanikio ya Filamu ya Royal…
