Umekuwa ukifikiria jinsi ya kukuza biashara yako ndogo, lakini mtaji umekuwa kikwazo kikuu?

BoT yafungia wakopeshaji 69

Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imefungia  jumla ya majukwaa na programu tumizi “applications” 69 zinazojihusisha na utoaji wa mikopo kidigitali. Taarifa ya BoT iliyosainiwa na Gavana Emmanuel Tutuba Novemba 21, 2024 inaeleza kuwa majukwaa na programu hizo zimeshindwa kukidhi matakwa ya Mwogozo kwa Watoa Huduma Ndogo za Fedha wa Daraja la Pili wanaotoa huduma za…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 10 21 at 12.38.48

Wananchi kupata uelewa wa fedha kupitia maadhimisho

Maadhimisho ya Nne ya Wiki ya Huduma za Fedha yamelenga kuwawezesha wananchi kupata uelewa wa masuala ya fedha. Wizara ya Fedha kwa kushirikiana na Wasimamizi wa Sekta ya Fedha nchini, wameandaa maadhimisho hayo ambayo Kitaifa yanayofanyika katika Viwanja vya Ruanda-nzovwe Jijini Mbeya. Maadhimisho hayo yanalenga kutoa elimu kwa Wananchi kuhusu matumizi ya huduma rasmi za…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks