Elewa mambo ya msingi juu ya elimu ya fedha Tanzania pesatu.co.tz

Elewa mambo ya msingi juu ya elimu ya fedha Tanzania

Elimu ya fedha ni moja ya nyenzo zenye nguvu zaidi kwa kujenga uthabiti wa kifedha Tanzania. Kwa familia nyingi, changamoto si kupata kipato pekee bali kujua jinsi ya kukitumia kwa busara. Nchini kote, wafanyakazi, wanafunzi, wakulima, na wajasiriamali hujiuliza maswali yanayofanana. Ninawezaje kufanya kipato kidumu, ninawezaje kuweka akiba, na nichukue hatua gani kuhakikisha usalama wa…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 08 18 at 4.40.27 PM

Wataalam wa kusimamia Bajeti ya Serikali wameagizwa kutumia mafunzo ya Mfumo ulioboreshwa

Wataalam wa wanaoandaa na kusimamia Bajeti ya Serikali wameagizwa kutumia mafunzo ya Mfumo ulioboreshwa wa Uandaaji na Usimamizi wa Bajeti (CBMS), kuboresha utendaji kazi katika usimamizi wa uandaaji na utekelezaji wa Bajeti ya Serikali. Agizo hilo limetolewa jijini Dodoma na Kamshina wa Bajeti, Wizara ya Fedha, Meshack Anyingisye wakati akifungua mafunzo ya Mfumo wa CBMS…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 04 25 at 1.59.37 PM

Kutofahamu thamani ya uwekezaji changamoto kampuni kutoorodheshwa Soko la Hisa DSM

Serikali imesema kuwa Kampuni ambazo hazijaorodheshwa katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) hukutana na changamoto za kutofahamu thamani halisi ya uwekezaji kutokana na kukosekana kwa ukwasi wa hisa zao. Hayo yalisemwa bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha, Hamad Hassan Chande  wakati akijibu swali la Mbunge wa Geita Mjini, Constantine John…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks