Screen Shot 2024 12 03 at 1.40.02 PM

Bilioni 32 zanufaisha miradi ya utafiti, ubunifu

Serikali imesema kuanzia mwaka 2021imetoka Shilingi bilioni 32 ambazo zimetumika kwenye miradi ya utafiti na ubunifu. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko amemsema hayo Disemba 02, 2024 wakati akimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kufungua Kongamano la tisa la Sayansi, Teknolojia, Ubunifu na maonesho linaloendelea Jijini…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 09 09 at 13.32.51

Wananchi washukuru kupatiwa elimu ya fedha

Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chalinze wameishukuru Serikali kwa kuwafikishia elimu ya fedha itakayowasaidia kujikwamua kiuchumi kwa kutumia fursa za uwekezaji ili kujiongezea kipato na kuongeza thamani ya akiba zao. Wananchi hao wametoa shukrani hizo baada ya kupata mafunzo ya elimu ya fedha yaliyoratibiwa na Wizara ya Fedha, yenye kauli mbiu “Elimu ya fedha…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 05 23 at 17.18.43

Serikali ya Tanzania yatakiwa kujenga maabara za TEHAMA katika kila shule

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti, Oran Njeza ameiagiza Ofisi ya Rais- TAMISEMI kuhakikisha inajenga maabara za TEHAMA katika kila shule ili wanafunzi wapate ujuzi kwa lengo la kukabiliana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia duniani. Ameyasema hayo Mei 21, 2024 kwenye kikao cha kujengewa uwezo wajumbe wa kamati hiyo kuhusu ufundishaji mubashara uliofanyika…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 04 16 at 13.54.19

Wakaguzi wa ndani Afrika watakiwa kubadilishana uzoefu

Wakaguzi wa Ndani barani Afrika wametakiwa kubadilishana uzoefu na kutumia teknolojia katika kutatua changamoto mbalimbali katika taaluma yao na kuhakikisha wanasaidia taasisi na Serikali zao kuboresha ufanyaji kazi ili kuchochea maendeleo. Hayo yameelezwa jijini Arusha na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango Zanzibar, Dkt. Saada Mkuya Salum, wakati wa Mkutano wa 10…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks