IMBEJU-SMARTELITE YAFUNGUA FURSA KWA WANAFUNZI
Imbeju-Smartelite yafungua fursa kwa wanafunzi . Katika kilele cha mapinduzi ya nne ya viwanda, teknolojia imekuwa siyo tu nyenzo ya mawasiliano, bali ni uti wa mgongo wa uchumi wa kisasa. Benki ya CRDB, kupitia taasisi yake ya CRDB Bank Foundation, kwa kushirikiana na Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) na Kampuni…
