WhatsApp Image 2022 12 16 at 12.08.24 PM

Rais Samia azindua mwongozo fursa za biashara Marekani

Katika kuendelea kukuza biashara na kutangaza biashara kimataifa, Rais Samia Suluhu Hassan amezindua mwongozo wa fursa za biashara na uwekezaji wakati wa Mkutano na Wanachama wa Chemba ya Biashara ya Marekani. Mkutano huo, umefanyika Washington DC nchini Marekani. Mwongozo huo uliandaliwa na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) kwa kushirikiana na Chemba ya Biashara…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2022 11 14 at 3.35.05 PM

Waziri ahimiza uwekezaji sekta ya utalii

Wizara ya Maliasili na Utalii imesema itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali katika kutangaza vivutio vya utalii na fursa za uwekezaji zilizo katika sekta ya utalii ndani na nje ya nchi. Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Dkt. Pindi Chana amesema hayo alipokuwa akitoa salamu za Wizara wakati wa kufunga Maonesho ya Utalii Karibu Kusini mkoani…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks