Hewa ukaa, eneo jipya la uwekezaji Tanzania
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Pindi Chana amewakaribisha wawekezaji kufanya biashara ya hewa ukaa na Serikali ya Tanzania. Dkt. Chana ameyasema hayo Jijini Dodoma mara baada ya Taasisi ya Blue Carbon ya UAE na Serikali kupitia Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), chini ya Wizara ya Maliasili na Utalii kusaini mkataba wa makubaliano…
