MAGEUZI YA GOLDBOD GHANA YATOA FUNZO KWA TANZANIA
Mageuzi ya Goldbod ghana yatoa funzo kwa Tanzania.Sekta ya madini barani Afrika inapitia kipindi cha mabadiliko makubwa ambapo mataifa yanazidi kutafuta namna ya kunufaika zaidi na rasilimali zao. Katika hatua ya kimkakati, Tume ya Madini ya Tanzania imefanya ziara ya kikazi nchini Ghana kutembelea Bodi ya Dhahabu ya Ghana (GoldBod). Ziara hii ni kielelezo tosha…
