Biashara za mtaji mdogo, suluhisho la vijana kujiajiri

Wakati sera kuu ya Tanzania ni vijana na wanawake kujiajiri, upatikanaji mgumu wa mtaji unazuia maendeleo. Serikali imefanya mengi ili kuongeza upatikanaji wa mtaji kwa makundi maalum kama wanawake, vijana na watu wenye ulemavu, hata hivyo mengi zaidi yanahitajika kufanywa. Hadi sasa, serikali kupitia Benki Kuu ya Tanzania imerahisisha mahitaji ya ukopaji kwenye mabenki na…

Soma Zaidi
mmmm

Waziri Nape: kama unaamini umeibiwa kifurushi leta ushahidi

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema kwamba uchunguzi uliofanya na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) umebaini kuwa hakuna wizi wa vifurushi vya mawasiliano ya simu unaofanywa. Waziri Nape amesema, kuna changamoto mbili kubwa kwenye matumizi ya simu janja ambapo, kwanza, mtumiaji anaweza kujiunga kifurushi cha intaneti, licha ya kuwa hatumii…

Soma Zaidi
tt

TANESCO yatangaza mgao wa umeme

Shirika la Umeme nchini (TANESCO) limetangaza rasmi kuanza mgao wa umeme wa siku 10 nchi nzima kuruhusu matengenezo ya mitambo ya kufua umeme kote nchini. Maharage Chande, Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco leo Ijumaa Januari 28, 2022 amesema mgao huo utaanza Februari Mosi hadi Februari 10 mwaka huu. TANESCO inaendelea na maboresho kwenye vituo vyake vya…

Soma Zaidi
E51442C6 6686 4538 A1FA D837C5FF2EBC

Vivutio vya utalii Tanzania vyavutia Hispania

Katika Maonesho ya Utalii ya FITUR yanayoendelea nchini Hispania, vivutio vya utalii vinavyopatikana nchini  vimewavutia washiriki wengi. Kaimu Meneja wa Mikutano na Matukio wa Bodi ya Utalii (TTB) inayoratibu maonesho hayo kwa upande wa Tanzania Bi. Lily Fungamtama amesema kuwa wamepokea mawakala wengi wa utalii walioonyesha kuvutiwa na vivutio hivyo na kuweka miadi ya kuvitembelea…

Soma Zaidi
Jummanne 1

Wajasiriamali wa kati wameongezeka kwa kiasi kikubwa nchini

Jumanne Rajabu Mtambalike ni Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Sahara Ventures inayojishughulisha na kuunganisha wajasiriamali wa kati na makampuni ya uwekezaji nje ya nchi kidigitali. Kampuni hiyo ambayo ilianzishwa mwaka 2016, ni atamizi ya kusaidia makampuni madogo madogo kuwa tayari kukutana na wawekezaji mbalimbali kwa kuwapa ubunifu, ushauri na teknolojia. Mtambalike ambae pia ni mjasiriamali…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks