Bei makopo ya plastiki yashuka
Kama ilivyo kwa biashara nyingine kupanda na kushuka kwa bei, ndivyo ilivyo katika biashara ya makopo ya plastiki na chupa za maji. Kwa sasa bei ya makopo na chupa za plastiki imeshuka kutoka Sh. 500 kwa kilo moja hadi kufikia Sh. 350 kwa kilo. “Kwa sasa bei imeshuka na itaendelea kushuka, leo tuinanunua kwa Sh….
