Home BIASHARAUWEKEZAJI Zanzibar kuiongezea thamani sekta ya utalii

Zanzibar kuiongezea thamani sekta ya utalii

0 comments 327 views

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali yake imedhamiria kwa dhati kuiendeleza sekta ya Utalii na kuongeza thamani na ubora kwa kutumia mikakati tofauti ikiwemo kuongeza vivutio.

Rais Dk. Mwinyi ameyasema hayo wakati akifungua maonesho ya siku tatu ya Utalii na Uwekezaji Zanzibar 2023 yenye washiriki zaidi ya 200 kutoka Mataifa mbalimbali duniani.
Maonesho hayo yenye maudhui ya ‘Greener Zanzibar’ yanalenga kuibadilisha Zanzibar kuwa fikio la utalii endelevu, yaani ‘Sustainable Tourism Destination’.

Pesatu ni jukwaa la habari, elimu ya kifedha, na ujasiriamali Tanzania. Tunakuletea taarifa mpya za biashara, uwekezaji, ajira, kilimo, mitindo, na burudani, pamoja na mwongozo wa kufanikisha mafanikio yako. Kwa makala zetu, mwongozo wa vitendo, na taarifa za hivi punde, tunasaidia wajasiriamali, vijana, na jamii kupata maarifa yanayoweza kubadilisha maisha yao na kuongeza fursa za kifedha.

Jarida la Habari

PESATU – Haki Zote Zimehifadhiwa. Imetengenezwa na Mediapix Limited