BoT kuja na mfumo mpya utekelezaji sera ya fedha
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) inatarajia kubadilisha mfumo wa sasa wa utekelezaji wa sera ya fedha ambao unatumia ujazi wa fedha na kuanza kutumia mfumo mpya unaotumia riba ya Benki Kuu (Central Bank Policy Rate). Taarifa ya Benki Kuu inasema mfumo huo unatarajiwa kuanza mwezi Januari 204. “Hii ni katika jitihada za kuboresha ufanisi wa…
