Wauza Bidhaa nje ya nchi wahimizwa kuzingatia sheria
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Emmanuel Tutuba amewahimiza wauzaji wa bidhaa na huduma nje ya mipaka ya Tanzania kuzingatia Kanuni za Fedha za Kigeni katika kufanya biashara zao ili kuepuka uuzaji na utumiaji holela wa fedha hizo. Ameyasema Aprili 5, 2024 wakati akizungumza na wafanyabiashara katika Ofisi ya Makao Makuu Ndogo ya BoT…
