ABSA YAJA NA MABADILIKO YA UONGOZI 2026
Absa yaja na mabadiliko ya Uongozi 2026 . Sekta ya kibenki barani Afrika imetikiswa na habari kubwa kufuatia hatua ya Absa Group kutangaza safu mpya ya uongozi wa juu. Mapema mwezi huu, benki hiyo kubwa yenye makao yake makuu nchini Afrika Kusini na matawi mengi barani, ikiwemo Tanzania, imeweka wazi mikakati yake ya kuimarisha utendaji…
