MPANGO WA ELIMU NA VIWANDA KUONGEZA AJIRA KWA VIJANA
Mpango wa Elimu na Viwanda kuongeza ajira kwa vijana. Tanzania imeingia katika hatua mpya ya mageuzi ya kielimu na kiuchumi baada ya Makamu wa Rais Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, kuzindua rasmi mpango wa kihistoria utakaounganisha taasisi za elimu na sekta ya uzalishaji. Tukio hili lililofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC)…
