WhatsApp Image 2023 07 21 at 14.39.37

Tanzania, Congo kukuza biashara na uchumi

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Ekila Libombo, kuhusu mipango ya kuimarisha miundombinu ya usafiri na usafirishaji ili kukuza biashara na uchumi wa nchi hizo mbili. Mazunguzo hayo yamefanyika mjini Kinshara, Congo, kando ya mkutano wa kamati ya Mawaziri…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 07 12 at 14.51.47

Uwindaji wa kitalii unachangia bilioni 30

Serikali inakusanya takriban Shilingi Bilioni 30 kwa mwaka kutokana na Uwindaji wa kitalii nchini. Uwindaji huo ambao unachangia katika Pato la Taifa hususani fedha za kigeni, pia unachangia ajira rasmi na zisizo rasmi kwa jamii. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mohamed Mchengerwa ameeleza hayo wakati wa uzinduzi wa Kamati ya Ushauri ya Ugawaji wa Vitalu…

Soma Zaidi
sasasa

Simba, Yanga zaingiza Sh 410 milioni

Shirikisho la soka Tanzania (TFF) limetangaza mapato ya mechi ya Simba vs Yanga iliyochezwa Aprili 16 iliingiza Sh410 milioni. Tarifa ya TFF imeeleza mgawanyo wa hela hizo ambapo VAT ni Sh62 milioni, Baraza la Michezo (BMT) Sh10 milioni, gharama za tiketi Sh22 milioni, uwanja Sh47 milioni na mchezo ni Sh22 milioni. TFF imeeleza kuwa wao…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks