EWURA YATOA MWELEKEO WA BEI YA MAFUTA FEBRUARI
EWURA yatoa mwelekeo wa bei ya Mafuta Februari. Mwezi Februari 2026 umeanza kwa tabasamu kwa watumiaji wa vyombo vya moto nchini, hasa wale wanaotumia mafuta ya dizeli. Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetoa mwelekeo mpya wa gharama za nishati, ikionyesha mabadiliko chanya yanayoweza kutoa nafuu katika sekta ya usafirishaji na…
