Nchi za Afrika zapewa wito matumizi nishati safi ya kupikia
Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba ametoa wito kwa nchi za Afrika kutafuta njia na mikakati ya kuboresha uchumi na maisha ya wananchi wake kwa kutumia nishati safi ya kupikia ikiwa ni hatua pia ya kukabiliana na athari za mabadiliko ya Tabianchi yanayochangiwa na uharibifu wa mazingira. Dkt. Nchemba ametoa wito huo mjini Antananarivo nchini…
