Japan yaipa Tanzania bilioni 68.5
Tanzania imepokea msaada wa yen bilioni 4.07 sawa na Shilingi bilioni 68.5 kwa ajili ya kutekeleza mradi wa ujenzi wa Barabara ya mzunguko wa ndani katika Jiji la Dodoma. Msaada huo umetolewa October 18, 2024 na Japan, kupitia Shirika lake la Ushirikiano wa Kimataifa (JICA). Mkataba wa Msaada huo umetiwa Saini katika Ofisi Ndogo za…
