suluhu

Mjitokeze kuhesabiwa: Rais Samia

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kujitokeza kuhesabiwa katika zoezi la sensa ya watu na makazi linalotarajiwa kufanyika Agosti 25 mwaka huu. Rais Samia maetoa wito huo akizungumza katika kumbukumbu ya mwaka mmoja wa kifo cha Hayati Rais wa awamu ya tano John Pombe Magufuli katika uwanja wa Magufuli, Chato. “Tuendelee kuelimishana na…

Soma Zaidi
huss

Tutafanya yote yanayowezekana kusaidia wanawake: Rais Mwinyi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Hussein Mwinyi amesema serikali yake itafanya kila linalowezekana katika kuwasaidia wanawake kwenye nyanja mbalimbali ikiwemo uchumi, uongozi wa kisiasa na uongozi katika utendaji. Akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Wanzawake Duniani Machi 8, 2022 yanayofanyika kitaifa Zanzibar, Rais Mwinyi amesema “tutaongeza idadi ya viongozi katika serikali”….

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2022 02 25 at 3.11.55 PM

Ngorongoro live Dubai

Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro inaonekana mubashara (live) kwenye maonesho ya utalii ya Exp2020 Dubai. Waziri wa Maliasili na Utallii, Dkt. Damas Ndumbaro amepongeza Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) kwa namna inavyotangaza vivutio vya Utalii kwa njia kidigitali kupitia Ngorongoro Live  Streaming  (Matangazo mubashara kutoka Ngorongoro). Amesema hali hiyo ya Ngorongoro Streaming Live kwenye…

Soma Zaidi

Biashara za mtaji mdogo, suluhisho la vijana kujiajiri

Wakati sera kuu ya Tanzania ni vijana na wanawake kujiajiri, upatikanaji mgumu wa mtaji unazuia maendeleo. Serikali imefanya mengi ili kuongeza upatikanaji wa mtaji kwa makundi maalum kama wanawake, vijana na watu wenye ulemavu, hata hivyo mengi zaidi yanahitajika kufanywa. Hadi sasa, serikali kupitia Benki Kuu ya Tanzania imerahisisha mahitaji ya ukopaji kwenye mabenki na…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2022 02 24 at 4.58.27 PM

Bilioni 200 kwa ajili ya machinga

Benki ya NMB imetenga kiasi cha Shilingi bilioni 200 kwa ajili ya kuwapa mikopo wamachinga. Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara wa NMB, Filbert Mponzi amesema wameingia mkataba na wamachinga ambapo mbali na mikopo hiyo, benki hiyo pia itawapa mafunzo ya kifedha. “Kupitia ujuzi tulionao tutakuwa tukitoa mafunzo kwa machinga, benki yetu ina uzoefu mkubwa…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks