WhatsApp Image 2024 04 16 at 13.54.19

Wakaguzi wa ndani Afrika watakiwa kubadilishana uzoefu

Wakaguzi wa Ndani barani Afrika wametakiwa kubadilishana uzoefu na kutumia teknolojia katika kutatua changamoto mbalimbali katika taaluma yao na kuhakikisha wanasaidia taasisi na Serikali zao kuboresha ufanyaji kazi ili kuchochea maendeleo. Hayo yameelezwa jijini Arusha na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango Zanzibar, Dkt. Saada Mkuya Salum, wakati wa Mkutano wa 10…

Soma Zaidi
social media

Mitandao ya kijamii na fursa kiuchumi

Matumizi ya mitandao ya kijamii yamekuwa sana kila kona duniani. Ni moja ya njia ya kupashana habari kwa kasi. Watu mbalimbali hususani vijana ndio kundi kubwa linalotumia mitandao hiyo ikiwemo Facebook, Twitter, Whatsapp, Youtube, Instagram na mingine mingi. Vijana wengi wamekuwa wakiitumia kufanya mijadala mbalimbali hususani siasa na mambo mengine. Ni wachache walioweza kuona fursa…

Soma Zaidi
mmmm

Waziri Nape: kama unaamini umeibiwa kifurushi leta ushahidi

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema kwamba uchunguzi uliofanya na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) umebaini kuwa hakuna wizi wa vifurushi vya mawasiliano ya simu unaofanywa. Waziri Nape amesema, kuna changamoto mbili kubwa kwenye matumizi ya simu janja ambapo, kwanza, mtumiaji anaweza kujiunga kifurushi cha intaneti, licha ya kuwa hatumii…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks