Wananchi washauriwa kusajili vikundi vyao vya huduma ndogo za fedha
Serikali imewashauri wananchi kusajili vikundi vyao vya huduma ndogo za fedha kupitia mfumo wa Wezesha Portal ambayo ni njia rahisi na haina gharama yoyote. Ushauri huo umetolewa na, Afisa Usimamizi Fedha Mwandamizi kutoka Wizara ya Fedha, Idara ya Uendelezaji wa Sekta ya Fedha, Jackson Mshumba wakati akitoa Elimu ya Huduma Ndogo za Fedha katika Kata…
