WhatsApp Image 2023 12 15 at 13.57.14

Msichimbie fedha ndani: Waziri Dkt Nchemba

Watanzania wametakiwa kutumia benki kuhifadhi fedha zao ili kuhakikisha usalama wa fedha hizo na usalama wao na kuacha tabia ya kuhifadhi fedha majumbani. Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, amesema hayo jijini Dodoma wakati akizundua Tawi la Benki ya watu wa Zanzibar (PBZ) kwa niaba ya Mheshimiwa Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan. Dkt. Nchemba…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 10 30 at 15.24.26

Hatifungani ya kijani yavuka lengo

Hatifungani ya kijani ya benki ya CRDB imevuka lengo lililokusudiwa la shilingi bilioni 40 kwa asilimia 329.55 ikiwa ni awamu ya kwanza ya uuzwaji. Benki ya CRDB imetangaza rasmi matokeo ya hatifungani hiyo iliyouzwa kwa siku 38 kuanzia Agosti 31, 2023. Mgeni Rasmi katika hafla hiyo alikua ni Dkt. Charles Mwamwaja, Kamishna wa Idara ya…

Soma Zaidi
wew

Benki zatakiwa kupunguza riba

Benki mbalimbali nchini zimetakiwa kupunguza riba, ili kutoa fursa kwa wateja kukopa na kufanya uwekezaji kwenye maeneo mbalimbali. Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Felician Mtahengerwa ametoa rai hiyo jijini Arusha katika mkutano wa wadau wa Benki ya Maendeleo (TIB), Kanda ya Arusha. Mtahengerwa amesisitiza kuwa endapo benki zikipunguza riba katika mikopo, Watanzania wengi wataweza kukopa…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks