TANZANIA YAFUNGUA FURSA KWA UHIFADHI WA WANYAMAPORI
Tanzania yafungua fursa kwa Uhifadhi wa Wanyamapori.Sekta ya maliasili na utalii ni moja ya nguzo kuu za uchumi wa Tanzania. Ili kulinda rasilimali hizi, nguvu kazi ya kutosha inahitajika. Hivi karibuni, serikali imeweka msisitizo mkubwa katika kuimarisha Jeshi la Uhifadhi kupitia ajira za uhifadhi Tanzania, hatua inayolenga kuhakikisha usalama wa wanyamapori na misitu yetu kwa…
