Unaweza kupata Sh 20,000 kwa siku kwa kuuza chupa za plastiki pesatu.co.tz

Unaweza kupata Sh 20,000 kwa siku kwa kuuza chupa za plastiki

Unaweza usiamini lakini inawezekana, usiichukulie poa. Chupa za plastiki ni fursa ya biashara kama zilivyo biashara zingine. Biashara ya makopo ni biashara kama biashara zingine. Watu wengi wanaofanya kazi ya kuokota makopo huonekana kama wamechanganyikiwa kutokana na muonekano wa baadhi yao, wengi wakionekana wachafu. Usichokijua ni kwamba biashara hii ina uwezo wa kukupatia kipato cha…

Soma Zaidi
Kukuza biashara ndogo inahitaji mpango mkakati mzuri pesatu.com

Fahamu jinsi ya kukuza biashara ndogo

Kukuza biashara ndogo inahitaji mpango mkakati mzuri, kuitangaza, usimamizi wa fedha, na kuzingatia wateja wako. Weka malengo na mpango yako Weka malengo mahususi (yaliyo wazi, yanayoweza kupimika na yanayowezekana. Hapa usiweke malengo ya vitu ambavyo havitaweza kutokea. Jua kile unachofanya na kiwe kinakutofautisha na wafanyabiashara wengine, weka sababu kwa nini wateja wanunue kwako na sio kwa wafanya biashara…

Soma Zaidi
Hizi hapa nchi 71 raia wake kuingia Tanzania bila VIZA

Hizi hapa nchi 71 raia wake kuingia Tanzania bila VIZA

Serikali ya Tanzania imeingia makubaliano na nchi mbalimbali ili kurahisisha utaratibu wa viza ambapo raia wa nchi 71 hawahitaji viza wanapoingia nchini. kwa sasa watalii kutoka mataifa mengi zaidi duniani wanaruhusiwa kupata visa wanapowasili (visa on arrival) kwenye viwanja vya ndege vya kimataifa kama Julius Nyerere (Dar es Salaam), Kilimanjaro na Zanzibar. Haya yamebainishwa na…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks