Maandiko ya kisasa yatavutia utalii: Naibu Waziri Kitandula
Kuwepo kwa maandiko ya kisasa yanayoendana na hali halisi ya biashara ya utalii duniani kutawezesha kukuza biashara ya utalii nchini na kuvutia wawekezaji. Naibu Waziri wa maliasili na Utalii Dunstan Kitandula ameeleza hayo wakati akiongea na uongozi na watumishi wa Chuo cha Utalii Kampasi ya Arusha (NCT) Tanzania. Kitandula amesema kuwepo kwa maandiko ya kisasa…
