Madeni, mali Yetu Microfinance benki yahamishiwa NMB
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imehamisha mali na madeni ya Yetu Microfinance Bank Plc kwenda Benki ya NMB kuanzia Mei 24, 2023. Hatua hiyo imekuja baada ya BoT kuiweka chini ya usimamizi Yetu Microfinance Bank Plc kwa ajili ya kupata ufumbuzi wa matatizo yanayoikabili ya mtaji na ukwasi mnamo Disemba 12, 2022. Taarifa ya BoT…
