WhatsApp Image 2024 09 20 at 11.30.46

BoT kuja na mwongozo kutatua malalamiko ya watumiaji huduma za fedha

Benki Kuu ya Tanzania (BoT) iko mbioni kuandaa mwongozo utakaoainisha utaratibu wa kufuatwa katika kutatua malalamiko ya watumiaji wa huduma za fedha. Kaimu Mkurugenzi wa Ustawi na Huduma Jumuishi za Fedha Sadiki Nyanzowa, amesema mwongozo huo unalenga kuongeza ufanisi wa kushughulikia malalamiko hayo pamoja na kuleta usawa wa namna ya kushughulikia malalamiko kwa watoa huduma…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2024 09 12 at 13.21.41

Tanzania imesajili miradi ya Dola Bilioni 8.65 ndani ya mwaka mmoja

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema ndani ya mwaka mmoja, Serikali imefanikiwa kusajili miradi 9,678 yenye thamani ya dola za Marekani milioni 8,658 hali ambayo inaonesha matokeo chanya ya uwekezaji nchini. Waziri Mkuu ameeleza hayo Septemba 11, 2024 wakati akizungumza na wadau mbalimbali walioshiriki hafla ya uzinduzi wa Taarifa tano za Maboresho ya Mazingira ya Biashara…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks