Rais Dkt. Samia aagiza biashara saa 24 soko la Kariakoo
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassani amemwagiza Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt. Selemani Jafo kuhakikisha kuwa biashara katika soko la Kariakoo zinafanyika saa 24 pindi ujenzi wa soko hilo utapokamilika. Rais Dkt. Samia ametoa agizo hilo wakati wa halfa fupi ya kuwaapisha viongozi wateule iliyofanyika Ikulu ndogo ya Tunguu. Aidha, amemwagiza Waziri Jafo…
