Tanzania, Uganda zatia saini mkataba wa ujenzi bomba la gesi
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Uganda zimetia saini mkataba utakaowezesha kuanza kwa kazi ya upembuzi yakinifu wa Mradi wa Ujenzi wa Bomba la Kusafirisha Gesi kutoka Tanzania kwenda Uganda. Mkataba huo umesainiwa Novemba 09, 2023 jijini Dodoma na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati wa Tanzania Dkt….
