WIZARA YAPOKEA PONGEZI KWA MAPINDUZI UMEME VIJIJINI -pesatu.co.tz

WIZARA YAPOKEA PONGEZI KWA MAPINDUZI UMEME VIJIJINI

Wizara yapokea pongezi kwa mapinduzi umeme vijijini. Sekta ya nishati nchini Tanzania inaendelea kushuhudia mabadiliko makubwa ambayo yanalenga kumvusha mwananchi kutoka gizani kuelekea kwenye mwanga wa maendeleo. Miradi ya nishati Tanzania imekuwa kielelezo cha namna serikali ya Awamu ya Sita, chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, inavyowekeza kwa dhati ili kuhakikisha kila…

Soma Zaidi

MAPINDUZI MAPYA YA HUDUMA ZA FORODHA

Mapinduzi mapya ya huduma za ForodhaKatika hatua inayotarajiwa kuleta mabadiliko makubwa katika mnyororo wa usambazaji wa bidhaa nchini, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imepiga hatua nyingine muhimu kwa kuzindua rasmi Dawati la Uwezeshaji Biashara Kariakoo. Hatua hii imekuja kama jibu la moja kwa moja kwa changamoto za muda mrefu ambazo zimekuwa zikiwakabili wafanyabiashara wa soko…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks