WIZARA YAPOKEA PONGEZI KWA MAPINDUZI UMEME VIJIJINI
Wizara yapokea pongezi kwa mapinduzi umeme vijijini. Sekta ya nishati nchini Tanzania inaendelea kushuhudia mabadiliko makubwa ambayo yanalenga kumvusha mwananchi kutoka gizani kuelekea kwenye mwanga wa maendeleo. Miradi ya nishati Tanzania imekuwa kielelezo cha namna serikali ya Awamu ya Sita, chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, inavyowekeza kwa dhati ili kuhakikisha kila…
