Tanzania, Misri kuendeleza ushirikiano miradi ya umeme
Naibu Waziri wa Nishati Judith Kapinga, amesema Tanzania na Misri zitaendeleza ushirikiano kwenye utekelezaji wa miradi ya umeme na kudunisha ushirikiano uliowekwa na waasisi wa nchi hizo. Kapinga ameyasema hayo Machi, 2025, mkoani Pwani wakati alipofanya ziara katika mradi wa umeme wa Julius Nyerere (JNHPP) pamoja na Waziri wa Mambo ya Nje, Uhamiaji na Wamisri…
