Umekuwa ukifikiria jinsi ya kukuza biashara yako ndogo, lakini mtaji umekuwa kikwazo kikuu?

Kiwango mikopo chechefu chapungua: BoT

Imeelezwa kuwa kiwango cha mikopo chechefu kimeshuka hadi asilimia 3.3, chini ya kiwango kinachovumilika cha asilimia 5. Hayo yameelezwa na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Emmanuel Tutuba katika hafla ya futari iliyoandaliwa na BoT kwenye ofisi zake jijini Dar es Salaam Machi 20, 2025. “Sekta ya fedha inaendelea kuwa na ukwasi wa kutosha,…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2025 03 20 at 15.50.46

 Waziri Mkuu ataka bidhaa zinazozalishwa nchini kukidhi viwango

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameziagiza taasisi za kudhibiti viwango nchini zihakikishe uzalishaji wa bidhaa  zote zinazozalishwa zikiwemo za afya zinakidhi ubora unaotakiwa na kuweza kushindana katika masoko ya kimataifa. Ametoa agizo hilo Machi 20, 2025 baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa mitambo ya kuzalisha oksijeni kwa matumizi ya hospitali, ambapo amesisitiza kuwa…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 03 20 at 3.01.51 PM

Zanzibar yafungua dirisha la uwekezaji hati fungani inayofuata misingi dini ya Kiislamu

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imefungua dirisha la uwekezaji katika hati fungani inayofuata misingi ya dini ya Kiislamu, Zanzibar Sukuk, ambayo inalenga kusaidia utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo visiwani humo. Akizungumza baada ya kikao na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango Zanzibar, Dkt. Saada Mkuya, kilichofanyika katika ofisi za Benki Kuu…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 03 19 at 12.07.01 PM

Serikali ya Tanzania yawekeza bilioni 25.7 utafiti, ubunifu na maendeleo ya teknolojia

Katika kipindi cha miaka minne ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Serikali kupitia Tume ya Taifa Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imewekeza sh bilioni 25.7, kwa ajili ya kufanya utafiti, ubunifu na maendeleo ya teknolojia katika maeneo mbalimbali. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mkuu wa COSTECH Dkt. Amos Nungu jijini Dodoma Machi 17, 2025, wakati akitaja mafanikio…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks