Serikali yaunda timu kuinua wachimbaji wadogo
Timu ya wataalamu ya kuishauri Wizara ya Madini juu ya kuwainua wachimbaji wadogo kiuchumi kupitia uchimbaji wenye tija imeundwa rasmi ikishirikisha wataalamu kutoka taasisi za umma na binafsi. Akizungumza na waandishi wa habari mkoani Dodoma Aprili 09, 2025 Waziri wa Madini, Anthony Mavunde ameeleza majukumu ya timu hiyo kuwa ni pamoja na kupendekeza namna bora…
