Trillioni 1.4 kutumika mradi ujenzi wa mgodi Mwanza
Takribani kiasi cha Shilingi Trilioni 1.4 sawa na Dola za Kimarekani Milioni 523 (pamoja na dharura) zitawekezwa kujenga mgodi mkubwa unaotarajiwa kuzalisha dhahabu ya kwanza katika robo ya kwanza ya Mwaka 2027. Taarifa hiyo imetolewa Aprili 28, 2025 na Kampuni ya Perseus ya Nchini Australia katika tangazo rasmi la kuanza ujenzi wa mgodi wa dhahabu…
