Tanzania na EU kushirikiana sekta ya maliasili na utalii
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii na Umoja wa Ulaya (EU) zimejadiliana kushirikiana katika Sekta ya Maliasili na Utalii hususan katika uhifadhi wa mazingira, uchumi wa bluu, ufugaji nyuki na uzuiaji wa uwindaji haramu wa mazao ya misitu na wanyamapori. Hayo yamejiri katika kikao kati ya Waziri wa…
