kiza

Maandamao mfumuko wa bei yamtia matatani Kizza Besigye

  Kampala. Mwanasiasa ambae pia amewahi kugombea nafasi ya urais mara nne nchini Uganda Dk. Kizza Besigye amekamatwa na polisi nchini humo. Besigye amekamatwa baada ya kujaribu kurudisha maandamano yenye jina “Muzuukuke” ikimaanisha “amka” leo Mei 23 asubuhi. Maandamano hayo yanatokana na kupanda kwa gharama za maisha. Kabla ya kukamatwa, kiongozi huyo wa upinzani alikuwa…

Soma Zaidi
suluhu

Rais Samia atangaza mkakati bei ya mafuta

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassani ametangaza mkakati wa kubana matumizi ya Serikali katika bajeti ya matumizi ili kupata fedha za kupunguza makali ya ongezeko la bei ya mafuta nchini. Ongezeko hilo linalosababisha kuongezeka kwa bei za bidhaa na huduma mbalimbali. Katika taarifa ya Rais Samia kwa vyombo vya habari Mei 9, 2022 amesema Serikali…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2022 02 25 at 3.11.55 PM

Ngorongoro live Dubai

Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro inaonekana mubashara (live) kwenye maonesho ya utalii ya Exp2020 Dubai. Waziri wa Maliasili na Utallii, Dkt. Damas Ndumbaro amepongeza Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) kwa namna inavyotangaza vivutio vya Utalii kwa njia kidigitali kupitia Ngorongoro Live  Streaming  (Matangazo mubashara kutoka Ngorongoro). Amesema hali hiyo ya Ngorongoro Streaming Live kwenye…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks