BIMA YA AFYA KWA WOTE YALETA TUMAINI JIPYA
Bima ya afya kwa wote yaleta tumaini jipya.Sekta ya afya nchini Tanzania imeingia katika ukurasa mpya wa kihistoria baada ya Serikali imetangaza rasmi kuanza kwa utekelezaji wa mpango kabambe wa Bima ya Afya kwa Wote kwa Huduma za Afya Bora, Endelevu na za Uhakika kwa Watanzania. Hatua hii si tu ya kimkakati bali ni ukombozi…
