Bajeti ya mafanikio, namna ya kusimamia mapato na matumizi pesatu.co.tz

Bajeti ya mafanikio, namna ya kusimamia mapato na matumizi

Bajeti ya mafanikioa hubadili msongo wa mawazo kifedha kuwa udhibiti wa kifedha. Hapa Tanzania, ambako gharama za maisha zinabana kaya nyingi, mpango wa wazi wa mapato na matumizi unaweza kuwa tofauti kati ya uthabiti na shida. Bajeti si adhabu. Ni ramani inayoonyesha fedha zinaelekea wapi na kama chaguo hizo zinaendana na vipaumbele vya familia. Anza…

Soma Zaidi
Tanzania, Kenya kufanya mazungumzo kesho juu ya katazo la biashara pesatu.co.tz

Tanzania, Kenya kufanya mazungumzo kesho juu ya katazo la biashara

Nchi za Tanzania na Kenya zinatarajia kufanya mazungumzo juu ya katazo la biashara ndogo ndogo lililowekwa na Tanzania kwa wafanyabiashara wa kigeni. Katibu wa Baraza la Mawaziri, Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) Beatrice Askul aliiambia Kamati ya Bunge ya Ulinzi, Ujasusi na Mambo ya Nje Bunge kuwa kikosi cha wataalamu kipo Tanzania kujadiliana kuhusu kuondolewa kwa katazo hilo….

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 05 02 at 12.24.08 PM

Maua ni fursa ya biashara

Watu wengi wanapenda kupendezesha nyumba zao ama ofisi kwa mapambo mbalimbali ikiwemo maua. Ama kwa hakika, bustani za maua mbalimbali zinazotunzwa vizuri ni kivutio kikubwa husasani majumbani na sehemu zingine mbalimbali. Vijana wengi wameanzisha biashara ya kuuza maua na wengine wakifanya kazi ya kutengeneza bustani (garden) kwa utaalamu. Biashara hii ambayo inakua kwa kasi imeweza…

Soma Zaidi
Makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla.

Jinsi Zanzibar ilivyotekeleza ilani ya CCM kiuchumi, elimu

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar chini ya Rais Dkt. Hussein Ali Mwinyi imewasilisha jinsi ilivyotekeleza ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya 2020/2025 katika nyanja mbalimbali ikiwemo kiuchumi, elimu, afya, uwekezaji na miundombinu. Hii ni katika kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu. Akiwasilisha utekelezaji wa Ilani hiyo jijini Dodoma, Makamu wa pili wa…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 04 23 at 11.00.59 AM

Dkt. Mwigulu: Tanzania imejipanga kukabiliana na mabadiliko Sera za Marekani

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa Tanzania imejipanga kukabiliana na mabadiliko ya sera za nje za Marekani kuhusu misaada kwa nchi za Afrika kwa kutumia rasilimali zake ndani kupitia Bajeti Kuu ya Serikali. Dkt. Nchemba amesema hayo alipokutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Kundi la Kwanza la Nchi za Afrika wa…

Soma Zaidi
Screen Shot 2025 04 17 at 1.29.29 PM

Fedha za miradi ambazo hazijatumika hurudi Mfuko Mkuu wa Serikali

Serikali imesema kuwa fedha ambazo hazijatumika hadi mwisho wa mwaka hurudi Mfuko Mkuu wa Serikali ikiwa ni utaratibu wa kusimamia uwajibikaji na uwazi katika matumizi ya fedha zilizotengwa katika bajeti. Hayo yameelezwa bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Tandahimba Katani Ahmad Katani, aliyetaka kujua lini…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks