MIKAKATI INAYOLINDA UWEKEZAJI WA VIWANDA TANZANIA
Mikakati inayolinda uwekezaji wa Viwanda Tanzania. Tanzania imeingia katika awamu mpya ya mageuzi ya kiuchumi ambapo uzalishaji wa ndani unapewa kipaumbele cha juu kuliko uagizaji wa bidhaa kutoka nje. Mapema Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameweka wazi msimamo wa Serikali katika kulinda na kukuza uwekezaji wa viwanda Tanzania wakati wa uzinduzi wa kiwanda kikubwa…
