WhatsApp Image 2024 01 18 at 12.54.43 1

Halmashauri ya Mji wa Mbinga yachekelea fedha za Rais Samia miradi mbalimbali

Halmashauri ya Mji wa Mbinga imepokea jumla ya Shilingi bilioni 11.974 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo. Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Mbinga Amina Seif amesema hivi karibuni kiasi hicho kilitumika kutekeleza miradi mbalimbali kwenye sekta za Elimu,  Afya, Maendeleo ya jamii, Kilimo, Utawala, Biashara na Mifugo. Ameeleza kuwa fedha hizo…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 12 18 at 11.37.42

Tanzania yaunda Taasisi kushughulikia malalamiko baina ya walipa na watoza kodi

Ofisi ya Msuluhishi wa Malalamiko na Taarifa za Kodi (TOST), imewahakikishia walipakodi nchini kuwa itashughulikia malalamiko ya wafanyabiashara yanayohusiana na kodi kwa haki na usawa ili kuchochea ulipaji kodi kwa hiyari. Msuluhishi wa Malalamiko na Taarifa za Kodi Robert Manyama ameleza hayo alipokutana na wadau wa kodi jijini Dar es Salaam, katika ukumbi wa Kimataifa…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 11 06 at 17.14.19

Deni la Serikali ni Sh 82.12 trilioni

Waziri wa Fedha Dk Mwigulu Nchemba amesema hadi kufikia Juni 2023, deni la Serikali lilikuwa ni Sh 82.12 trilioni huku mikopo ikitumika kugharamia miradi ya maendeleo ikiwemo ujenzi wa miundombinu ya barabara, reli, viwanja vya ndege, umeme, afya na elimu. Waziri Nchemba amesema hayo Novemba 6, wakati akiwasilisha mapendekezo ya mwongozo wa maandalizi ya Mpango…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 10 12 at 14.27.12

Tanzania yasifiwa usimamizi mageuzi ya uchumi

Tanzania imesifiwa kwa usimamizi mzuri na mageuzi makubwa ya kiuchumi ikilinganishwa na nchi nyingi za Kusini mwa Jangwa la Sahara. Hii ni katika kipindi ambacho Dunia inahangaika na misukosuko inayotokana na athari za UVIKO 19, mizozo ya vita pamoja na kuyumba kwa soko la fedha za kigeni. Pongezi hizo zimetolewa kwa nyakati tofauti na Makamu…

Soma Zaidi
sawawa

TRA yakusanya Sh. trilioni 24.11

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekusanya Sh trilioni 24.11 sawa na ufanisi wa asilimia 97.4 ya lengo la kukusanya St trilioni 24.76 katiki kipindi cha mwaka wa fedha 2022/23. TRA imesema makusanyo hayo ni sawa na ongezeko la asilimia 8.2 ikilinganishwa na makusanyo ya kipindi kama hicho kwa mwaka wa fedha 2021/2022. Taarifa ya TRA…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 06 13 at 15.09.58

Tanzania kusaini mkataba ukaguzi miamala ya kimataifa

Serikali inatarajia kusaini mkataba ambao utaiwezesha Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kupata taarifa mbalimbali kutoka nchi 146 duniani ambazo zitasaidia katika kuongeza ufanisi wa ukaguzi wa miamala ya kimataifa. Hayo yamebainishwa Bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Hamad Hassan Chande, wakati akijibu swali la Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina, aliyetaka kujua…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks