Kiwango mikopo chechefu chapungua: BoT
Imeelezwa kuwa kiwango cha mikopo chechefu kimeshuka hadi asilimia 3.3, chini ya kiwango kinachovumilika cha asilimia 5. Hayo yameelezwa na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Emmanuel Tutuba katika hafla ya futari iliyoandaliwa na BoT kwenye ofisi zake jijini Dar es Salaam Machi 20, 2025. “Sekta ya fedha inaendelea kuwa na ukwasi wa kutosha,…
