Aina za Uwekezaji Tanzania: Hisa, Hati Fungani za Serikali, na Mali Isiyohamishika | pesatu.co.tz

Aina za Uwekezaji Tanzania: Hisa, Hati Fungani za Serikali, na Mali Isiyohamishika

Aina za Uwekezaji Tanzania: Mwongozo wa Kina na Chaguo Unazopaswa Kujua Uwekezaji nchini Tanzania kwa ujumla hugawanyika katika makundi makuu matatu yanayofahamika sana, ambayo huunda msingi wa fursa nyingi za kifedha. Aina za uwekezaji Tanzania zinazojulikana zaidi ni: Hisa za kampuni zilizo kwenye orodha, hati fungani za serikali, na mali isiyohamishika. Kila moja ya njia…

Soma Zaidi
Majaliwa: ACTIF 2025 itoe majibu biashara, uwekezaji pesatu.com

Waziri Mkuu ataka ACTIF 2025 kutoa majibu changamoto za kibiashara, uwekezaji

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Jukwaa la Nne la Biashara na Uwekezaji kati ya Afrika na Karibiani (ACTIF) linapaswa kuja na majibu ya changamoto za kibiashara na uwekezaji zinazoyakabili mataifa ya Afrika na yale ya eneo la Karibiani. Amesema kuwa changamoto hizo zinapaswa kujadiliwa kwa uwazi na kutaja bayana vikwazo vyote vinavyosababisha kutofanyika kwa…

Soma Zaidi
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na wawekezaji nchini Japan.

Tanzania yaendelea kuishawishi Japan kuwekeza nchini

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameendelea kuwashawishi wawekezaji na wafanyabiashara wakubwa wa Japan kuja kuwekeza kwenye sekta mbalimbali kwani Serikali imeshaboresha mazingira ya ufanyaji biashara na uwekezaji. Amezitaja sekta hizo kuwa ni pamoja na kilimo, afya, uchumi wa buluu, nishati, miundombinu, ufugaji na TEHAMA. Waziri Mkuu ameyasema hayo Mei 28, 2025 alipokutana kwa nyakati tofauti na…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks