Tanzania, Uingereza kufanya kongamano la biashara
Ubalozi wa Uingereza na Serikali ya Tanzania wanatarajia kufanya kongamano la pili la kibiashara kutambua fursa za kibiashara na uwekezaji utakaosaidia kuongeza mauzo ya bidhaa nje ya nchi. Akizungumza katika uzinduzi wa kongamano hilo Novemba 29 jijini Dar es Salaam, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara Ally Gugu amesema kongamano hilo litawaleta…
