MUUNGANO KUIMARISHA UWEKEZAJI NA BIASHARA
Muungano kuimarisha uwekezaji na Biashara. Katika kuelekea kilele cha mafanikio ya kijamii na kiuchumi, suala la mashirikiano baina ya pande mbili za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeendelea kuchukua sura mpya ya matumaini. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameweka wazi msimamo wa Serikali yake katika kuhakikisha kuwa…
