TANZANIA YAFUNGUA MILANGO SWEDEN STOCKHOLM

Tanzania yafungua milango Sweden Stockholm . Katika jitihada za kuendeleza diplomasia ya uchumi, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kuchanja mbuga barani Ulaya kwa kuonyesha fursa za uwekezaji Tanzania ambazo hazijaguswa. Hivi karibuni, Balozi wa Tanzania nchini Sweden,Mobhare Matinyi, ameongoza ujumbe wa kimkakati katika kikao kizito na wafanyabiashara pamoja na wawekezaji kutoka Chama cha Wafanyabiashara…

Soma Zaidi
Pesa Tu Social Media Post 2025 47

TANZANIA YAFUNGUA MILANGO KWA WAWEKEZAJI WA UINGEREZA

Tanzania yafungua milango kwa wawekezaji wa Uingereza.Katika hali inayozidi kuimarisha diplomasia ya kiuchumi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, ametoa rai kwa jumuiya ya kimataifa akisisitiza kuwa fursa za uwekezaji Tanzania ni salama na zenye tija kuliko wakati wowote. Akizungumza jijini London nchini Uingereza, Prof. Mkumbo amebainisha kuwa…

Soma Zaidi
Pesa Tu Social Media Post 2025 46

TANZANIA,KOREA KUSINI KUSHIRIKIANA MRADI WA BIL 40

Sekta ya madini nchini Tanzania imeingia katika kurasa nyingine katika jitihada za kuhakikisha rasilimali za nchi zinawanufaisha Watanzania kwa usahihi na tija. Serikali ya Tanzania imetangaza kuanzishwa kwa kituo cha kisasa kitakachozingatia Teknolojia ya Madini Muhimu. Hatua hii ni sehemu ya mkakati mpana wa “Madini Vision 2030” unaolenga kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha madini mkakati…

Soma Zaidi
Pesa Tu Social Media Post 2025 44

MAPINDUZI MAKUBWA UWEZESHAJI MITAJI WACHIMBAJI WADOGO

Mapinduzi Makubwa Uwezeshaji Mitaji wachimbaji wadogo.Sekta ya madini nchini Tanzania imekuwa mhimili mkuu wa uchumi wa taifa kwa miaka mingi. Hata hivyo, changamoto ya ukosefu wa vifaa vya kisasa na mitaji ya uendeshaji imekuwa kikwazo kikubwa kwa wachimbaji wadogo. Katika hatua ya kihistoria, Wizara ya Madini imetangaza mapinduzi makubwa uwezeshaji mitaji kwa wachimbaji wadogo, hatua…

Soma Zaidi
Pesa Tu Social Media Post 2025 39

HATUA KALI KWA MAAFISA MADINI WANAOSABABISHA MIGOGORO

Hatua kali kwa maafisa madini wanaosababisha migogoro. Katika hali inayolenga kuleta nidhamu na uwajibikaji ndani ya sekta ya madini nchini Tanzania, Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, ametoa onyo kali kwa Maafisa Madini Wakazi wa Mikoa (RMOs). Akizungumza jijini Dodoma leo, Januari 22, 2026, Waziri Mavunde ameweka wazi kuwa Serikali ya Awamu ya Sita haitavumilia mtumishi…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks