GST YAZIDI KUIMARISHA SEKTA YA MADINI
GST yazidi kuimarisha sekta ya madini. Katika jitihada za kuhakikisha sekta ya madini nchini Tanzania inasonga mbele kwa kasi, Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Eng. Yahya Samamba, ametoa mwelekeo mpya kwa Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST). Akizungumza jijini Dodoma mnamo Aprili 9, 2026, Eng. Samamba ameweka bayana kuwa mafanikio ya…
