TANAPA yapongezwa juhudi za kutangaza utalii
Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania(TANAPA) limepongezwa kwa juhudi kubwa inazofanya za kutangaza vivutio vya utalii. Pongezi hizo zimetolewa leo na Waziri wa viwanda, biashara na uwekezaji Dkt. Ashatu Kijaji alipotembelea banda la TANAPA wakati akifungua rasmi maonesho ya 9 ya biashara yanayofanyika jijini Tanga. Maonesho haya yanaendelea hadi tarehe 6/6/2022. Sekta mbalimbali, mashirika ya…
