weweee

Ndege 4 kuwasili ifikapo 2024

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa amesema ndege nne zinatarajiwa kuwasili nchini ifikapo Februari, 2024. Prof Mbarawa amesema hayo wakati akiwasilisha Bungeni Makadirio ya mapato na matumizi ya Fedha kwa mwaka wa fedha 2023/2024 ya Wizara hiyo. “Miongoni mwa maeneo muhimu ambayo Serikali imeendelea kutekeleza katika uimarishaji wa ATCL ni pamoja na kuendelea…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 05 23 at 13.22.54

Kamati ya Waziri Mkuu yaanza kukusanya maoni ya wafanyabiashara

Kamati maalum ya kutatua changamoto za wafanyabiashara nchini iliyoundwa na Waziri Waziri Mkuu Kassim Majaliwa imeanza kukusanya maoni ya wafanyabishara kutoka sekta mbali mbali jijini Dar es Salaam. Kamati hiyo inaundwa na wajumbe 14 ambapo wajumbe saba ni wawakilishi wa wafanyabiashara nchini na wajumbe wengine ni kutoka Wizara na Taasisi mbali mbali zinazohusika na biashara…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 05 10 at 16.04.23

TanTrade, GIZ kuwezesha wafanyabiashara mipakani

Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) na Shirika la GIZ zimekubaliana kushirikiana katika uwezeshaji wa Sekta ya biashara hususan kwenye eneo la wafanyabishara wanawake na vijana wanaovuka mipaka. Aidha, eneo lingine taasisi hizo mbili zimeonesha nia ya kushirikiana ni eneo muhimu la taarifa za biashara na kurahisisha wafanyabiashara kuzipata kwa njia rahisi. Kaimu Mkurugenzi…

Soma Zaidi
WhatsApp Image 2023 04 07 at 16.26.46

Tunaendelea kuboresha mazingira ya biashara: Serikali

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru, amewahakikishia wafanyabiashara na makampuni binafsi kwamba Serikali itaendelea kuboresha mazingira ya biashara nchini ili kuwawezesha kuendelea kuwekeza na kukuza uchumi wa nchi. Mafuru ametoa ahadi hiyo wakati wa mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Sigara Tanzania (TCC) Takashi Araki. Amesema Sekta Binafsi ina imani…

Soma Zaidi
cant

Kushiriki maonesho China Dola 3,000

Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) imetangaza fursa kwa wafanyabiashara wa Tanzania wanaotaka kushiriki Maonesho makubwa ya Kimataifa ya biashara nchini China yajulikanayo kama Canton Fair. Kwa mujibu wa TanTrade gharama za kushiriki ni Dola za Marekani 3,000 kwa kila mshiriki. Gharama hizo zitahusisha usafiri wa ndege daraja la uchumi, usafiri wa ndani (ground…

Soma Zaidi
Enable Notifications OK No thanks