Zanzibar inahitaji kutangazwa kimataifa: Rais Mwinyi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema, Zanzibar bado inahitaji wawekezaji zaidi kwani yapo maeneo mengi yenye fursa za uwekezaji ambayo hayajafikiwa na kutangazwa kimataifa. Dk. Mwinyi ameyasema hayo Septemba 17, 2024 Ikulu, Zanzibar alipokutana na timu ya wawekezaji kutoka bara la Asia. Aidha Rais Dk. Mwinyi ameyataja…
