MAVUNDE AZINDUA KIWANDA CHA KUZALISHA MKAA MBADALA
Mavunde azindua kiwanda cha kuzalisha Mkaa Mbadala .Mkoa wa Tabora umeingia katika historia mpya ya uhifadhi wa mazingira na ukuzaji wa sekta ya kilimo nchini Tanzania baada ya Waziri wa Madini, Anthony Mavunde , kuzindua rasmi Kiwanda cha Rafiki Briquettes. Uzinduzi huu ni sehemu ya mkakati kabambe wa Serikali ya Awamu ya Sita, chini ya…
