Gavana Tutuba: Benki Kuu ziwe washirika mageuzi ya kiuchumi
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Emmanuel Tutuba, ameongoza mjadala maalum wa kitaaluma katika kongamano la uchumi lililofanyika Julai 18, 2025 jijini Lilongwe, Malawi. Kongamano hilo lilikuwa sehemu ya maadhimisho ya miaka 60 tangu kuanzishwa kwa Benki Kuu ya Malawi, ambapo mgeni rasmi alikuwa Rais wa Jamhuri ya Malawi, Dkt. Lazarus Chakwera. Mjadala huo…
